CCM Lyrics – Harmonize

CCM Lyrics – Harmonize: Presenting the lyrics of the song “CCM” sung by Harmonize.

CCM Lyrics – Harmonize

Hii hapa sauti ya Konde Boy mjeshi
Konde Boy

Waambieni wapinzani wanajisumbua
CCM chama chetu tumekichagua
Waambieni wapinzani wanajisumbua
CCM chama chetu tumekichagua

Ungozi sio jambo rahisi
Unataka watu majasiri
Wamekazania ubishi
Kazi kupinga vilivyo dhahiri

Kazi zote za magufuli, eti hawazioni
Elimu barabara nzuri, nazo hawazioni
Utekelezaji wa CCM eti hawauoni
Umeme, maji kila sehemu, fly-over hawazioni
Ndege zilivojazana, nazo hawazioni
Ajira kwa vijana,  nazo hawazioni

Eeeh magufuli tembo
(tembo wa CCM)
Dr. Alisheni tembo
(tembo wa CCM)
Philip mangula tembo
(tembo wa CCM)
Mama zamia tembo
(tembo wa CCM)

Kaka sasimu majaaliwa tembo
(tembo wa CCM)
Bashiluari tembo
(tembo wa CCM)
Wee polepole tembo
(tembo wa CCM)
konde boy tembo
(tembo wa CCM)

Twende piga makofi, piga makofi
CCM piga makofi, piga makofi
Twende vidaileki, vidaileki
Zungusha vidaileki, vidaileki

Waambieni wapinzani wanajisumbua
CCM chama chetu tumekichagua
Waambieni wapinzani wanajisumbua
CCM chama chetu tumekichagua

CCM Lyrics - Harmonize

Harmonize – CCM Song Details

Song: CCM
Singer: Harmonize