You Lyrics – Harmonize

You Lyrics - Harmonize
You Lyrics - Harmonize

You Lyrics – Harmonize: Presenting the lyrics of the song “You” sung by Harmonize.

You Lyrics – Harmonize

BBoy on the beat
Hmmm, yeah

Mikono juu na surrender
Acha dunia ijue muuni amependa
Wangapi waikuja wakaenda
Mbona ni wewee
Mwenzako nahesabu calendar
Siku masaa yanakwenda
Hebu fanya urudi nakupenda
Basi nielewee eeeh
Kitaniumbua kifo nikiyaficha maradhi
Sikujua before before kumpata unaempenda ndio kazi
Nimejaribu haka kawimbo kukuimbia
Pengine labda utakasikia
Ishara tosha kuwa najutia
Fanya unisamehe hi mambo ya ujana
Moyo unakufa ganzi nikifikiria
Mazito tuliyo yapitita
Yaliyou kufanya utaki ata nisikia
Bado nahisi ni kama jana

Hakuna aliye kamilika
Hata unae mdhani malaika
Bado anaweza kuwa shetani
Na ukasema bora mimi
Ndoto yangu bado haijafutika
naamini siku itafika
Tumwite sheikh na ubani
Au tufunge ndoa kanisani

Ohh beibei
I miss you
I miss you
I miss you
I miss you

Kweli mapenwi hayana ujanja
Hayajali jina mkwanja
Yani nimepita kila kiwanja
Ila nimenasa kwa mtoto wa massanja
Wewe ni mtu wa mungu
Tena mlokole yanini app ya mange
Wapiga majungu wakina lokole
Wanao pakaza me nakula bange
Naaguka makosa tena nipo radhi kutoa posa
Basi fanya urudi malikia
Tuje kuanza tulipo ishia
Waambie mashoga zako si kwa ubaya
Ila me sipendagi kuongea
Unamsemaje mwenzako bangi mbaya
Kama hujawahi hata mgongea

Hakuna aliye kamilika
Hata unae mdhani malaika
Bado anaweza kuwa shetani
Na ukasema bora mimi
Ndoto yangu bado haijafutika
naamini siku itafika
Tumwite sheikh na ubani
Au tufunge ndoa kanisani

Ohh beibei
I miss you
I miss you
I miss you
I miss you

Of course Bboy beat
Konde boy call me number one
Bakhresa
It’s what it is baby
I want to come back
It’s what it is baby
I want to come back
Come back my baby

Harmonize – You Song Details

Song: You
Singer: Harmonize